Ona huyu!!! Bora mlimchukua,anafikiri anaongea kitu cha sifa na heshima kumbe anatengeneza uncertainty. Kushindwa kulala vizuri ni tatizo linalo ondoa focus ktk uwajibikaji.Kulala ni nguzo muhimu ya kujenga fikra bora.Rais naye awe na subira ktk maongezi yake na hawa.
View attachment 2453237