Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ona huyu!!! Bora mlimchukua,anafikiri anaongea kitu cha sifa na heshima kumbe anatengeneza uncertainty. Kushindwa kulala vizuri ni tatizo linalo ondoa focus ktk uwajibikaji.Kulala ni nguzo muhimu ya kujenga fikra bora.Rais naye awe na subira ktk maongezi yake na hawa.
 
Liongo hili jamaa tangu kwenye Korona mpaka sasa hivi. Masaa mawili hawezi kufanya kazi sawasawa na ni hatari sana kwa kiongozi wa nchi. Hii siyo sifa bali ni uthibitisho kuwa mama anahitaji tiba ya insomnia. It can kill!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…