Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nini hiki? Nkiki ikyi? Nku mouta shituruma shi?
. SGR iliyojengwa kwa zaidi ya Trilioni 20 za watanzania maskini ndo mnakuja kupitisha hizi bumunda? Aisee mmetukosea sana. Halafu mnasema hizi ni za masafa marefu?

Yani mnaamini mtu anaweza kukaa humo ndani kutoka Dar hadi Mwanza bila kupata changamoto ya upumuaji? Halafu eti mmetengenezea Korea? Si mngewapa tender SIDO ili kuokoa gharama? Au ni Korea ya Gongo la Mboto? Apaa ngula.!!
 
Nilisikia kama wanasema (eti) sasa vitaletwa vichwa vya kawaida na sio vya mwendo kasi tena. Nadhani ndio maana wameamua kutuletea mabehewa ya mizigo,yaliyo tobolewa madirisha. Kipindi wanaanza kujenga na mbwembwe nyiiingi Watanzania tuliuliza "kwa umeme upi?" Hapa Tz? Yametimia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…