Hicho ndicho cha muhimu maana kifo nje nje dakika yo yote mtu unaweza kuondoka. Let's enjoy life to the fullest while we are still here as none of us knows the time or the hour of our untimely departure from this beautiful planet
Hicho ndicho cha muhimu maana kifo nje nje dakika yo yote mtu unaweza kuondoka. Let's enjoy life to the fullest while we are still here bro as nobody knows the time or the hour of our untimely departure
Kwa waliotoka tu chuo na kuingia maofisini hii hawawezi elewa hata kdg, kuna mmoja akatuita wasanii! Watu wanalala vibarazani, watu wanalala kwenye magari, watu wanalala nje kibao na kesho wanatuma na yakutolea