Haaaaaaa
Tanzania yapokea mkopo kutoka ufaransa Bilion 361.7 Kwa kizalisha Nishati Kwa mashart haya
1.Watakuwa wana monitor uzalishaji huu maana wataleta wataalamu wao! Mapato hayatahojiwa naTRA/ Chombo chochote
2.Mkopo utoe fursa Kwa ufaransa kuwekeza Kwa Miaka 20 Kwa mashart nafuu