Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kesi namba 10 inayomkabili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 8 imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu mkazi Mwanza kutokana na Shahidi ambae pia ni mshtakiwa Suzana Simon kutoletwa Mahakamani hapo na kuelezwa kuwa amesahaulika gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…