Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Siitaki hiyo shikamoo yako mimi. Unaniita mkuu? Babu yako kabisa? 😳😳😳[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo mengi mkuu tumevurugwa na bei za sembe huku kitaa paka kuamkia watu tunaona kama tutafulisika[emoji849][emoji849][emoji849] SHIKAMOO
Hiyo shikamoo chukua tu maana siku hizi hazipatikani hovyo hovyo[emoji16][emoji16]Siitaki hiyo shikamoo yako mimi. Unaniita mkuu? Babu yako kabisa? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kweli maisha ni magumu. Na leo OPEC wametangaza kuwa wanapunguza uzalishaji wa mafuta kwa Manipal milioni 2 kwa siku ili ku-create demand. Muda si muda mafuta nayo yataanza kupanda tena. Hakuna rangi ambayo tutaacha kuona aisee...
Mambo Telegram ni fayaa [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2378200
Msodoki kwa vina 🙌
Marahabaaaaaaaaaa! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿😁😁Hiyo shikamoo chukua tu maana siku hizi hazipatikani hovyo hovyo[emoji16][emoji16]
😂😂foma waziri wa umwagiliaji
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Safi iwafikie warembo wote wanaobania mbususu zao.