Vituko mitandaoni. Tupia chako

mambo mengi mkuu tumevurugwa na bei za sembe huku kitaa paka kuamkia watu tunaona kama tutafulisika
SHIKAMOO
Siitaki hiyo shikamoo yako mimi. Unaniita mkuu? Babu yako kabisa? 😳😳😳

Kweli maisha ni magumu. Na leo OPEC wametangaza kuwa wanapunguza uzalishaji wa mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku ili ku-create demand. Muda si muda mafuta nayo yataanza kupanda tena. Hakuna rangi ambayo tutaacha kuona aisee...
 
Hiyo shikamoo chukua tu maana siku hizi hazipatikani hovyo hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…