Baba na mwanaye
Mtoto: Eti baba, Unataka kuanza tena shule?
Baba: kwa nini Umeuliza hivyo?
Mtoto: Jana uthiku, nilithikia ukimnong’onetha mama Eti, kama anapenda, Muende la pili..! ”
Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo”
Baba: Aisee