Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na hapa ndipo wenzetu wanapotupiga chenga. Halafu wakikaa huko na kugundua chanjo zao oooh wanataka kutuua. Si maombi yatuponye sasa? Kila mtaa sasa hivi nadhani una nabii na mtume wake sasa shida iko wapi?
Afrika hatujitambui,Kwanza hizi Dini zimeletwa na wao

Halafu sisi tunaonekana tumezama kwenye hizi Dini kuliko wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…