Vituko mitandaoni. Tupia chako

Inahuzunisha sana, juzi tumekua na ugomvi na mwanangu mmoja, baada ya kutembelea bibi kijijini akagoma halali huko, muda wote akili zilikua zinawaza play station yake mjini, nilimngurumia hadi akalala huko.
hivyo yaani,,,,wanawaza hayo ma game na cartoon,,,,huko kijijini wanaona sehemu ya kishamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…