Bahati mbaya ni kwamba, mwanamke akifanya mapenzi na akabeba mimba inakuwa wazi kwamba kuna kidume amepita (pengine kichaa kakutana na kichaa) lakini mwanamke akibeba mimba haiwezi kudhihirika iwapo kapewa na chizi au timamu. Nilishawahi kusikia wanawake wakipeana michapo kuhusu kichaa fulni.