Vituko mitandaoni. Tupia chako

Leo katika Bunge.
Mweshimiwa Spikaaaaaaaaaaa

SWALI LA NYONGEZA: Mbunge wa Kongwa tafadhali.

Mheshimiwa Sipika: Kwa niaba ya wananchi wa Kongwa, naomba kuuliza swali la nyongeza kwa waziri wa fedha kama ifuatavyo:-

Je mpaka sasa serikali imeshakopa nje ya nchi jumla ya shilingi ngapi, na serikali italipi lini ili kuepuka nchi kupigwa mnada..?

MAJIBU MHESHIMIWA WAZIRI TAFADHALI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…