Vituko mitandaoni. Tupia chako

Leo katika Bunge.
Mweshimiwa Spikaaaaaaaaaaa

SWALI LA NYONGEZA: Mbunge wa Kongwa tafadhali.

Mheshimiwa Sipika: Kwa niaba ya wananchi wa Kongwa, naomba kuuliza swali la nyongeza kwa waziri wa fedha kama ifuatavyo:-

Je mpaka sasa serikali imeshakopa nje ya nchi jumla ya shilingi ngapi, na serikali italipi lini ili kuepuka nchi kupigwa mnada..?

MAJIBU MHESHIMIWA WAZIRI TAFADHALI.
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…