A short story kutoka magazeti ya Shigongo

Kabaharia Mark Constantine kalishikwa ugoni redi hendedi na Mwanaidi Mustapha ambaye ni mke wa mtu huko Rocky City.




Mwenye mke hakutaka kukaua bali aliamru alipwe laki 5 kwa kutafuniwa mke wake. Kabaharia kakaona isiwe kesi kakaamua kutoa ahadi mbele ya mashahidi.


Mchezo ukaisha na kila mtu akaendelea na mishe zake. Mwanaidi Mustapha akaondoka na mumewe. Na hadithi yetu inaishia hapo.

Funzo: Mke wa mtu ni sumu

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriYaNdani
 

Attachments

  • baruayamaelezokutokakwamarck.JPG
    58.4 KB · Views: 40

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…