Wamekosa tu plan nzuri. Kuna nyumba nilikaa tulikuwa wapangaji nane na mwenye nyumba wa tisa, ilikuwa ukitoka na maji ukakuta mtu anaoga unamwambia ukitoka nishtue, unaacha maji yako unaendelea na mambo yako, akija mwingine hivyohivyo anakuambia unayefuata...hatukuwahi kugombana kwenye hilo