Vituko mitandaoni. Tupia chako

Madaraka matamu aisee, huyu mwamba tangu amepoteza cheo chake kwenye CCM anamwaga povu mpaka anatia huruma.

Machungu anayopitia sasa kwa kupoteza cheo chake ndiyo ambayo wenzake nao waliyahisi.

Naye aanzishe mtandao wake wa Kigogo 2014 ili.atukane mafichoni, maana sasa anajiabisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…