Usimsikilize babu yako....Ujue unapiga teke kopo la dhahabu!!Sawa sawa nimekuelewa
Ngojea nimuite aje aone SHIMBA YA BUYENZEUsimsikilize babu yako....Ujue unapiga teke kopo la dhahabu!!
🤣🤣🤣🤣Acha nibaki na kitambi changu
Mtie kwenye iginoa listi huyu siyo mtu mzuri. Atakufanya uvunjwe miguu bure halafu atasepa zake Dubai kula bata na wengine utafikiri Riki Rosi. Usizuzuliwe na pesa zake pulizi!
#KuchapiwaHakuepukiki
Shangazi wa TaifaWana harakati...
Mwenzenu huyu hapaView attachment 2029149
Farsafa za zamani sana hizo.