Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sio kituko..

But you must know it..
Kwamba kuna watu nxt year december wataenda Qatar kula bata la kombe la Dunia.

...

While kuna watu walikufa katika harakati za kuwaandalia mazingira mazuri ya kula hilo bata.Na hakuna atakayejali...MAY ALLAH REST THEIR SOUL IN PEACE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…