Vituko mitandaoni. Tupia chako

Serikali : Tumeongeza tozo ya mafuta ili kuinua uchumi wa nchi.

UVCCM : Huu ndo uzalendo lazima watu walipe hizi tozo ili Serikali ijenge miundombinu

Serikali : Tumepunguza tozo ya mafuta

UVCCM: Tunaipongeza sana Serikali kwa kupunguza tozo ya mafuta maana inawaumiza wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…