Serikali : Tumeongeza tozo ya mafuta ili kuinua uchumi wa nchi.
UVCCM : Huu ndo uzalendo lazima watu walipe hizi tozo ili Serikali ijenge miundombinu
Serikali : Tumepunguza tozo ya mafuta
UVCCM: Tunaipongeza sana Serikali kwa kupunguza tozo ya mafuta maana inawaumiza wananchi.