Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,997 Reaction score 137,035 Jul 20, 2021 #58,964 JIKOPESHE.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Jul 20, 2021 #58,965 CAGvsSPEAKER said: Huyu Qwy leo ameamua.......naona dalili za kupigwa ban muda si mrefu.......ila umelichangamsha jamvi Click to expand... Qwy naona ni kama vile ameshajiandaa kwa ban tayari . Ila ingependeza kama angezipeleka hizi kwenye lile jukwaa la warembo pengine ingependeza zaidi Huku kuna watu nawajua watakimbia muda si mrefu.
CAGvsSPEAKER said: Huyu Qwy leo ameamua.......naona dalili za kupigwa ban muda si mrefu.......ila umelichangamsha jamvi Click to expand... Qwy naona ni kama vile ameshajiandaa kwa ban tayari . Ila ingependeza kama angezipeleka hizi kwenye lile jukwaa la warembo pengine ingependeza zaidi Huku kuna watu nawajua watakimbia muda si mrefu.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Jul 20, 2021 #58,966 moudgulf said: View attachment 1861423 Click to expand... Shoo mbovu hatari!
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Jul 20, 2021 #58,967 moudgulf said: Vululu vululuView attachment 1861428 Click to expand... Kuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi
moudgulf said: Vululu vululuView attachment 1861428 Click to expand... Kuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,176 Reaction score 770,300 Jul 20, 2021 #58,968 SHIMBA YA BUYENZE said: Kuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi View attachment 1861509 Click to expand... Tutahama nchi hii, khaaa
SHIMBA YA BUYENZE said: Kuhusu tozo mmeambiwa kama hamridhiki basi hamieni Burundi View attachment 1861509 Click to expand... Tutahama nchi hii, khaaa
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Jul 20, 2021 #58,969 moudgulf said: View attachment 1861431 Click to expand... Ila haya mambo bana
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Jul 20, 2021 #58,970 moudgulf said: Tutahama nchi hii, khaaa Click to expand... Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...
moudgulf said: Tutahama nchi hii, khaaa Click to expand... Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema...
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Jul 20, 2021 #58,971 Valentina said: Ila haya mambo bana Click to expand... Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema?
Valentina said: Ila haya mambo bana Click to expand... Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema?
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Jul 20, 2021 #58,972 SHIMBA YA BUYENZE said: Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema? Click to expand... Huku mambo ni yente tushamsahau Neema
SHIMBA YA BUYENZE said: Vipi huko uliko Valentina. Hali ni shwari kutokana na heka heka la Neema? Click to expand... Huku mambo ni yente tushamsahau Neema
Kasomi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 11,027 Reaction score 20,411 Jul 20, 2021 #58,973 minji said: Hahaaa nimechekaa sanaa cm inajiandika kuzini Click to expand... Hiyo ndiyo siku ya kufa nyani
minji said: Hahaaa nimechekaa sanaa cm inajiandika kuzini Click to expand... Hiyo ndiyo siku ya kufa nyani
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,176 Reaction score 770,300 Jul 20, 2021 #58,974 SHIMBA YA BUYENZE said: Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema... View attachment 1861539 Click to expand... Daktari wa uchumi
SHIMBA YA BUYENZE said: Huyu dogo ana kiburi hatari. Eti naye ana ndoto ya kuja kuwa rais wa nchi hii. Nitafurahi sana kama mama atamtema... View attachment 1861539 Click to expand... Daktari wa uchumi
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,176 Reaction score 770,300 Jul 20, 2021 #58,975 Valentina said: Ila haya mambo bana Click to expand... Vipi mkuu unayaonaje? Yakianzaga hayakupi nafasi, sms kama zote
Valentina said: Ila haya mambo bana Click to expand... Vipi mkuu unayaonaje? Yakianzaga hayakupi nafasi, sms kama zote
Kasomi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 11,027 Reaction score 20,411 Jul 21, 2021 #58,977 Huyu mungu amamuona