Kipindi hicho ghetto langu alikuwa haingii mwanamke, baada ya kupakaziwa nilijiskia aibu sana, wiki iliyofuata nikaingia ghetto na mdada, stori yangu iliacha gumzo. Kumbe nilikuwa najaribiwa kama nafanya kazi.
Kuanzia hapo..... Ikawa ni mwendo wa kuwapelekea moto