Hizi ndo mila tunazitaka zidumishwe na zilizosahaulika zirudi. Mbona watu wanadai mila za kiafrika ni makanzu na kuficha mwili wakati tulikuwa tunavaa magome ya miti na matiti nje? Wenzetu wa Fiji na visiwa vingine bado wanaheshumu mila zao.
Hizi ndo mila tunazitaka zidumishwe na zilizosahaulika zirudi. Mbona watu wanadai mila za kiafrika ni makanzu na kuficha mwili wakati tulikuwa tunavaa magome ya miti na matiti nje? Wenzetu wa Fiji na visiwa vingine bado wanaheshumu mila zao.