Vituko mitandaoni. Tupia chako

'
Wengine utasikia, gari lenyewe linakunywa kama jini (huyu anaesema hivi utakuta hata hajui tofauti ya Passo na Crown)
.

Wengine utasikia, 'hajafikia uwezo wa kununua gari anafosi tu'


Mwengine utamsikia, 'kwani gari zina bei siku hizi? Hata laki saba unapata' (kumbuka huyu hana hata baiskeli achilia mbali hela ya chai)


Mwengine utamsikia, 'mimi nitanunua gari lakini sio kama lile, nitachukua chuma cha maana nikimaliza nimemaliza' (huyu anaongea akiwa kwa shemeji)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…