Hahahaaaaa,ilishanitokea aisee,ni aibu mpk unaogopa kumwangalia machoni,ila mara nyingi utokea pale unapobeba mademu ya short time linakuvizia na mahaba feki mara ndani ya dakika 10 wazungu hao,hilo linawahi kushika sit nyingine,ukitaka cha pili linataka uongeze mawe,kweli umalaya sio dili