Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hahahaaaaa,ilishanitokea aisee,ni aibu mpk unaogopa kumwangalia machoni,ila mara nyingi utokea pale unapobeba mademu ya short time linakuvizia na mahaba feki mara ndani ya dakika 10 wazungu hao,hilo linawahi kushika sit nyingine,ukitaka cha pili linataka uongeze mawe,kweli umalaya sio dili
 

Nimecheka sana bro. Eti linakuvizia na mahaba feki dah! Ya hivyo nadhani yanajua hata mbinu za kukufanya upige bao haraka ili liende likaendelee na kazi kwingine. Pole aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…