Hii baiskel ilikuwa inamilikiwa na kijana wa kijerumani umri miaka 19. Wanajeshi wa jeshi la Hitler lilipita kwenye kitongoji alichokuwa anaishi huyu kijana na wazazi wake.
kijana alikuwa anatoka shambani, akashuka kwenye hii baiskel akaifunga kwenye mti na mnyororo akaambatana na jeshi la Hitler kwenda kupigana vita ya pili ya dunia.
Kijana hakurudi nyumbani alifariki vitani, wazazi wake waliamua kuiacha hiyo baiskel kwenye mti kwa ukumbusho wake.
Huo mti ulikuwa mdogo akazidi kukua ukameza mnyororo wa lock baadae baiskel kama unavyoona hapo.