Dalili za virusi vya Corona kimsingi ni hisia zile zile unazopata wakati mke wako anaangalia simu yako... Kwa wale ambao utulivu ni sifuri.
Unaanza kuona ugumu katika kupumua
*Jasho jingi
*Udhaifu
*Maumivu ya kichwa
*Kuumwa tumbo nk.
*Na wakati anauliza Manka ni nani? Kikohozi kikavu huanza ghafla...