Vituko mitandaoni. Tupia chako

Seriously mtu unapata wapi ujasiri wa kumuambia maneno kama haya mtoto
 
Sijaelewa hii
Hapo picha inaelezea situation ya wana ndoa wawili injinia wa umeme na mhandisi wa barabara ambao inaonesha hawana maelewano mazuri.

Hizo taa za barabarani zimegeukia opposite na barabara kwa hiyo inatupa picha kamili kua hata kitandani hakuna ushirikiano wanalala wakipeana migongo
 
Haaaaa Haaaaa 😂 hapa sitiii neno mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…