Vituko mitandaoni. Tupia chako

Umenikumbusha kipindi niko kwenye 19s mimi na ndugu yangu tuliua mbwa koko usiku ule mzoga tulienda kuutupa karibu na makazi ya jirani yetu ili liwanukie halafu tukawa tunapita lila siku kukagua kama walishauona ule mzoga wakauchoma moto au kuufukia.
 
Halafu ilikuwaje? Malizia stori sasa usituache njiani
 
Hamkupata kibano home baada ya malalamiko? Vituko vya aina hii ni vya muhimu kwa sababu kupitia kwavyo ndiyo tunajifunza kuhusu maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…