Vituko mitandaoni. Tupia chako

Staa wa soka kutoka pwani ya kenya Lucy Kweke ameingia kwenye vitabu vya kihistoria kuwa mwanasoka mchanga kujengewa sanamu kama njia ya kumheshimu.

Sanamu hilo ambalo limejengwa katika uga wa M-Pesa Foundation Stadium, liliwekwa na shule yake ya zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…