Akizungumza kwenye kipindi cha JIRANI Mama Terry amesema vijana wengi wa kiume sasa hivi wamekuwa na tabia mbaya na za hovyo kwani wamekuwa wakitongoza watu waliowazidi umri sawa na mama zao. “Kwa mfano mimi hapa yani sasa hivi natongozwa na vijana zaidi kuliko hata nilivyokuwa binti…” ~ Mama Terry