Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni vile hawajui tu, tunakuwa na heshima na upendo wa hali ya juu wakiwa wawili au watatu, gubu , makasiriko na stress zinapatana na kwa mtu mwenye mke mmoja


Sema haya mambo hayana formula bwana....

Ni kuomba tuu Mungu upepo ukuendee vizuri.

Kitu Mungu ametuficha ni kujua au kusoma fikra au mawazo au yaliyomjaza mtu moyo wake.... vinginevyo tungekimbiana huku na kule ingekuwa tafrani.

Pata picha unasoma fikra za mtu anayekuja kwako kama mwenye mapenzi ya kweli kumbe kajia fedha na mali zako, au unasoma mawazo ya anayetaka kukuwekea limbwata au anayetaka kukuendea kwa mganga.... balaaa.....🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…