Ajabu sasa wala hayafanani. Mmoja ni kigogo yuko huko BOT ana pesa kama mvua. Mwingine yuko huko serikalini naye yuko vizuri sana.
Ninachowapendea hawa jamaa ni kwamba hawana majivuno na bado wako grounded. Hicho tu pengine ndicho kinachotuunga pamoja.
Nitakuja kukusalimia