Vituko mitandaoni. Tupia chako

#Kitanda Hakizai Haramu
#Ukichapiwa Kausha πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani 😜

Msemo wa kitanda hakizai haramu tumetoka nao mbali sana Wazee πŸ€—πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Vijana wa sasa wabishi sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…