Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani π
Msemo wa kitanda hakizai haramu tumetoka nao mbali sana Wazee π€πββοΈπββοΈπββ