Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mwizi kaingia kwa Muandishi wa Habari Farouk Karim usiku wa kuamika leo Jumapili akaiba nguo na viatu na akaingia kwenye gari ya Farouk akachukua power window lakini hakuondoka tena akalala hapo hapo hadi asubuhi ya leo, wenyewe wakamgundua na kuja kuchukuliwa na Jeshi la Polisi.
Farouk hii Teknolojia ulotumia naiomba nzuri sana, duh kaganda hapo hapo!

Jr
 
Mwizi kaingia kwa Muandishi wa Habari Farouk Karim usiku wa kuamika leo Jumapili akaiba nguo na viatu na akaingia kwenye gari ya Farouk akachukua power window lakini hakuondoka tena akalala hapo hapo hadi asubuhi ya leo, wenyewe wakamgundua na kuja kuchukuliwa na Jeshi la Polisi.
Farouk hii Teknolojia ulotumia naiomba nzuri sana, duh kaganda hapo hapo!
Your browser is not able to display this video.


Jr
 
Mbona Kama Teja hivi ukimcheki hata sura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…