Na kwa vile na mimi ni Msukuma ndiyo ukaona unitwishe zigo ama?
Hufai! 😁😁😁🖐
➡️➡️➡️ Sidhani kama tuna waandishi wa habari Tanzania. Hata sasa Msukuma hayupo lakini umeona cha maana cho chote kinachoandikwa? Tumetoka kwa Msukuma tumeingia kwenye uchawa. Kimsingi hakuna kilichobadilika. It is just a mirage!