INAUZWA Vitu Vya Ndani Used

black short

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2019
Posts
519
Reaction score
978
Vitu Used (ila kwa hali nzuri karibia na upya) vinauzwa!!!!!
Mahali: Shinyanga Mjini
Sababu ya kuuza: Nahama Mkoa
1/Dressing table (inahitaji kioo, rangi na vitasa)-mbao
2/Pasi ya umeme (Phillips).
3/Meza ya Tv - mchina ngazi 3
4/Shoes rack (stendi ya viatu pea 12)-mbao
5/Trey la kuwekea vyombo (kubwa na halijawahi kutumika)
6/Feni ya Umeme (UAE)
*Vyote kwa pamoja ni laki mbili na nusu (250k Tshs) au Unaweza kununua kimoja kimoja kadri utakavyopenda na kuhitaji.
NB; For Serious Buyer only piga/tuma sms kwa namba hii 0752406722
 
Mkuu vitu mbona bado vipya halafu bei rahisi hivyo sio vya wizi kweli
 
Ambatanisha na picha tafadhali
Jr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…