Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,872
1. Kitambaa cha kufunga kichwani, si unajua tena nywele zinasumbua wakati wa kuoga au kulala so jipange hivo hawanaga na ukikikuta ujue kuna shida
2. Khanga nyepesi. Hata hizo hawanaga ukikuta ipo jua kuna mambo
3. Mswaki. Jikeep clean yaani hata ukipewa maji tu ukimaliza kunywa swaki. Harufu mbaya mbaya inaweza ikakufanya ukatolewa mjengoni kabla hakujapambazuka.
4. Usile samaki wala dagaa.Vitu vya shomboshombo achana navyo
5. Uwe na kiberiti.
Ukiachia ushuzi unaonuka washa njiti moja then nzima ili kuua soo. Ila ni vema usile sana ili usijambe maana hutoalikwa tena mjengoni
Itaendelea...
2. Khanga nyepesi. Hata hizo hawanaga ukikuta ipo jua kuna mambo
3. Mswaki. Jikeep clean yaani hata ukipewa maji tu ukimaliza kunywa swaki. Harufu mbaya mbaya inaweza ikakufanya ukatolewa mjengoni kabla hakujapambazuka.
4. Usile samaki wala dagaa.Vitu vya shomboshombo achana navyo
5. Uwe na kiberiti.
Ukiachia ushuzi unaonuka washa njiti moja then nzima ili kuua soo. Ila ni vema usile sana ili usijambe maana hutoalikwa tena mjengoni
Itaendelea...