Vitu vipya ndani ya dar es salaam

chambonga

Senior Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
154
Reaction score
81
NAONA JIJI LA DAR ES SALAAM LINAANZA KUBADILIKA KWA KWELI, KUNA MIRADI MIWILI AMBAYO NIMEIONA NIKAONA NIJE NISHARE NANYI WANA JAMII....KUMBUKA HII MIRADI SIYO IKO KWENYE UPEMBUZI BALI IKO ON TRACK! NADHANI IKIKAMILIKA ITALETA MUONEKANO TOFAUTI! KWANI NI MIRADI ILIYO MAKINI NA INAVUTIA, GONGA LINK HAPO CHINI UJIONEE

SOURCES;
http://degeecovillage.com/
index.php,​[url]http://avictown.co.tz/[/URL]
 
Umefukuzwa? Au ulikuwa unatumia kompyuta ya ofisi na muda wa kufunga umefika? Hivi umesoma ulichoandika?
 
inaonekana wataishi humo mafisadi tu!
 
Sisi watanzania ni watu wa ajab sana. Tunakimbilia vitu vikubwa na uwezo hatuna. Badala tungewaza na kupanga mfumo wa maji safi na salama ya bomba iwafikie kila mwananch Tunakimbilia vitu ambavyo havina tija. Popo bawa anatuadhib sometimes turudi kwenye track lakin wapi tumebaki kupumuliwa na mazombie tu. Paaambaff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…