Shekhe Khassani Makarama
Member
- Aug 26, 2018
- 5
- 2
A,aleykum warahmatullah wabarakatu naam ndugu zangu na wapenzi wa masomo yangu leo tutaendelea na uchambuzi wetu wa majini na VITIMBWI vyoa na HILA zao ikiwa ni sehemu ya 2 tuanzie hapa
SHWTANI NI NANI?
SHETANI ni ni tabia ya maasi itokanayo na matendo maovu ayafanyayo binadamu ama jinni hivyo kauli hii tunapata kufahamu kwamba hata binadamu anaweza kuwa ni SHETANI
ALLAH katika baadhi ya haya zake amelitaja sana hili jina la SHETANI wanazuoni wa lugha wamekubaliana kwamba ALLAH hapa amemtaja huyo Jinni kwa sifa yake na ifahamike huyo SHETANI WA KIJINI ana majini mengi yenye kuashiria sifa zake ambayo hayo majina alikuwa nayo kabla ya kukufuru kwake
NINI KAZI YA SHETANI NA MALENGO?
Tuwe makini kwasababu tunakwenda hatua kwa hatua tutakuja kuona kwanini leo majini wa kishetani wanawaingia watu wake kwa waume
KAZI YA SHETANI swali hili analijibu ALLAH mwenyewe katika kitabu chake kitukufu
(Shetani ni adui kwenu nanyi mfanyeni adui kwani analiita kundi lake liwe katika watu wa motoni) qur-an35-6
Aya hiyo inatufahamisha shetani ni nani kwetu na kusudio lake nini kwetu sisi watu
Allah anaendelea kutujuza kwamba (Ambae anatia was was katika vifua vya watu) qur-an 114:5 hapa pia tunapata kujulishwa kazi nyingine ya huyo Shetani. Na anatutia was was ili tupate kumuogopa au kumtii ili atukufurishe,
HUTOKANA NA NANI HUYO SHETANI?
Tazama majibu ya Allah hapa katika sura ya 114:6 nini anasema? Anasema (Hutokana na Majini na watu) hapa nadhani tutakuwa tumekubaliana kwamba huyu Shetani hutokana na sisi watu na majini na hakika ndio wapo watu ambao wao wanapenda kuwaona wenzao wakiwa katika hali za kukosa amani hawaoendi kuona watu wanafurahia maisha yao wako teyari kuvunja ndoa za watu. wanafurahi wenzao wakifukuzwa kazi ,wanapenda wao waonekane wanakusaidia wewe wanassma uongo wa kupamba pamba maneno ili uwasujudie Anagalia Allah anatuambia nini katika kitabu chake kisichokuwa na shaka
(Na hakika tumemfanyia kila nabii maadui mashetani wa kijini na kibinadamu wakifundishana wao kwa wao maneno ya kupamba pamba ya udanganyifu)qur-an 6:112
Hapa tunajulishwa kwamba hawa mashetni wa kijini na mashetani wa kibinadamu walikuwepo kila zama za kila nabii na kazi yao kubwa ilikuwa ni kusema na kufundishana maneno ya kupamba pamba ya udanganyifu maana yake ni kwamba maneno hayo utakapoyasikia basi wewe utafahamu ni ya ukweli lakini kumbe ni uongo ili wakutie katika kundi lao
Inshaallah katika darsa lijalo tutaangalia mfano wa maneno hayo kisha tutajitathimini je kwa maneno hayo wangapi tumenusurika na wangapi tumeangamia
Kwa maswali zaidi tukutane what-up 0757144465 au piga 0656228832
Nasisitiza mama zangu wajawazito tumieni sana zao la tende kwa kulila litawafanya kuwa na nguvu mpaka katika kipindi cha kujifungua lakini pia mtaepuka kuzaa kwa operesheni kwasababu tende husaidia pia kutanua njia ya uzazi hivyo humfanya mama kujifungua kwa urahisi bila hata kupoteza damu nyingi
Hasanteni nawatakieni usiku mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
SHWTANI NI NANI?
SHETANI ni ni tabia ya maasi itokanayo na matendo maovu ayafanyayo binadamu ama jinni hivyo kauli hii tunapata kufahamu kwamba hata binadamu anaweza kuwa ni SHETANI
ALLAH katika baadhi ya haya zake amelitaja sana hili jina la SHETANI wanazuoni wa lugha wamekubaliana kwamba ALLAH hapa amemtaja huyo Jinni kwa sifa yake na ifahamike huyo SHETANI WA KIJINI ana majini mengi yenye kuashiria sifa zake ambayo hayo majina alikuwa nayo kabla ya kukufuru kwake
NINI KAZI YA SHETANI NA MALENGO?
Tuwe makini kwasababu tunakwenda hatua kwa hatua tutakuja kuona kwanini leo majini wa kishetani wanawaingia watu wake kwa waume
KAZI YA SHETANI swali hili analijibu ALLAH mwenyewe katika kitabu chake kitukufu
(Shetani ni adui kwenu nanyi mfanyeni adui kwani analiita kundi lake liwe katika watu wa motoni) qur-an35-6
Aya hiyo inatufahamisha shetani ni nani kwetu na kusudio lake nini kwetu sisi watu
Allah anaendelea kutujuza kwamba (Ambae anatia was was katika vifua vya watu) qur-an 114:5 hapa pia tunapata kujulishwa kazi nyingine ya huyo Shetani. Na anatutia was was ili tupate kumuogopa au kumtii ili atukufurishe,
HUTOKANA NA NANI HUYO SHETANI?
Tazama majibu ya Allah hapa katika sura ya 114:6 nini anasema? Anasema (Hutokana na Majini na watu) hapa nadhani tutakuwa tumekubaliana kwamba huyu Shetani hutokana na sisi watu na majini na hakika ndio wapo watu ambao wao wanapenda kuwaona wenzao wakiwa katika hali za kukosa amani hawaoendi kuona watu wanafurahia maisha yao wako teyari kuvunja ndoa za watu. wanafurahi wenzao wakifukuzwa kazi ,wanapenda wao waonekane wanakusaidia wewe wanassma uongo wa kupamba pamba maneno ili uwasujudie Anagalia Allah anatuambia nini katika kitabu chake kisichokuwa na shaka
(Na hakika tumemfanyia kila nabii maadui mashetani wa kijini na kibinadamu wakifundishana wao kwa wao maneno ya kupamba pamba ya udanganyifu)qur-an 6:112
Hapa tunajulishwa kwamba hawa mashetni wa kijini na mashetani wa kibinadamu walikuwepo kila zama za kila nabii na kazi yao kubwa ilikuwa ni kusema na kufundishana maneno ya kupamba pamba ya udanganyifu maana yake ni kwamba maneno hayo utakapoyasikia basi wewe utafahamu ni ya ukweli lakini kumbe ni uongo ili wakutie katika kundi lao
Inshaallah katika darsa lijalo tutaangalia mfano wa maneno hayo kisha tutajitathimini je kwa maneno hayo wangapi tumenusurika na wangapi tumeangamia
Kwa maswali zaidi tukutane what-up 0757144465 au piga 0656228832
Nasisitiza mama zangu wajawazito tumieni sana zao la tende kwa kulila litawafanya kuwa na nguvu mpaka katika kipindi cha kujifungua lakini pia mtaepuka kuzaa kwa operesheni kwasababu tende husaidia pia kutanua njia ya uzazi hivyo humfanya mama kujifungua kwa urahisi bila hata kupoteza damu nyingi
Hasanteni nawatakieni usiku mwema
Sent using Jamii Forums mobile app