flight recorder
Member
- Aug 19, 2020
- 26
- 12
wale wapenzi wa vitenge from Kongo,zambia Kwa bei ya jumla tunapatika dar kwa bei sha sh 26000/= PC tatu
Manake Kwa kipande kimoja n sawa na sh 8600Huku kwetu Kwamtogole tunauziwa kipande sh12,000 kwa hao wanaonunua jumla.
Karibu mkuuNgoja nijipinde walau nipate baraka za bimkubwa ....
Karibu nduguAhsante kwa taarifa...
Hizo zinakua zinafanana mkuuHizo pc tatu lazima zifanane?
Vipande vitatu sh 36, 000Manake Kwa kipande kimoja n sawa na sh 8600
Hapana vipande vitatu vitakua elf 26 Kwa mm ninavyo uzaVipande vitatu sh 36, 000
Niletee mwanza niwe nauza kwanza ndio nakupa chakoHapana vipande vitatu vitakua elf 26 Kwa mm ninavyo uza
Nitafute Kwa 0767603688 tuongee vzrNiletee mwanza niwe nauza kwanza ndio nakupa chako
Ni original? Havichuji wala kupauka?Bado tunaendelea kupokea oda Kwa watu wa dar free derivery mpaka mlangoni kwako cheki namba hii Kwa whatsp 0767603688View attachment 2190810View attachment 2190811
OG Mzee avichuji wala kupauka karibu SanaNi original? Havichuji wala kupauka?
Bado tunaendelea kukusanya oda for derivery do not pay until mzgo wako umekufikia..!!OG Mzee avichuji wala kupauka karibu Sana
Wateja wetu bado tunaendelea kupokea oda free derivery Kwa dar, mikoani unalipia ghalama za usafili...Kwa wale wateja wetu bado tunaendelea kupokea oda wai mapema kabla mzigo ujaisha check on whatsp 0767603688 ..View attachment 2193093View attachment 2193094View attachment 2193097View attachment 2193098