M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 16, 2023 #1 Kwa Dodoma Mjini vitanda vya sofa vipo vipya na imara it's only 220k nichek 0710 954395 vipo rangi zote.
Kwa Dodoma Mjini vitanda vya sofa vipo vipya na imara it's only 220k nichek 0710 954395 vipo rangi zote.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,201 Reaction score 185,483 Feb 16, 2023 #2 Ahsante kwa taarifa...
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,923 Reaction score 119,308 Feb 16, 2023 #3 Ahueni unauza bei rafiki kama ile ya Iringa mjini. Pale maeneo ya Meriwa kama unaeelekea mjini, kuna jamaa wanauza bei ya kulangua mpaka basi.
Ahueni unauza bei rafiki kama ile ya Iringa mjini. Pale maeneo ya Meriwa kama unaeelekea mjini, kuna jamaa wanauza bei ya kulangua mpaka basi.
M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 16, 2023 Thread starter #4 Tate Mkuu said: Ahueni unauza bei rafiki kama ile ya Iringa mjini. Pale maeneo ya Meriwa kama unaeelekea mjini, kuna jamaa wanauza bei ya kulangua mpaka basi. Click to expand... Karbu Sana Mkuu
Tate Mkuu said: Ahueni unauza bei rafiki kama ile ya Iringa mjini. Pale maeneo ya Meriwa kama unaeelekea mjini, kuna jamaa wanauza bei ya kulangua mpaka basi. Click to expand... Karbu Sana Mkuu
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,923 Reaction score 119,308 Feb 17, 2023 #5 Mrak said: Karbu Sana Mkuu Click to expand... Mnapatikana pande zipi hapo Dodoma?
Mr Sir1 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2018 Posts 1,787 Reaction score 8,118 Feb 17, 2023 #6 Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa.
Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa.
Scolari JF-Expert Member Joined Aug 25, 2017 Posts 1,723 Reaction score 2,419 Feb 17, 2023 #7 Havilegei? Nikipigia show hapo hakitaanza kutoa sauti hicho??
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,550 Reaction score 105,319 Feb 17, 2023 #8 Mkuu ebu toa location maana jana (usiku) nimevunja chaga..ππ na umeweka tangazo wakati muafaka kabisa..π€
Mkuu ebu toa location maana jana (usiku) nimevunja chaga..ππ na umeweka tangazo wakati muafaka kabisa..π€
Mrs Van JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 7,767 Reaction score 17,800 Feb 17, 2023 #9 Bei yako nzuri. Hongera
Mrs Van JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 7,767 Reaction score 17,800 Feb 17, 2023 #10 Testimonial said: Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. View attachment 2520028 Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa. Click to expand... Hiyo maana ya mzungu. Kibongo bongo kikiwekwa magodoro na kitambaa tayari sofa bed
Testimonial said: Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. View attachment 2520028 Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa. Click to expand... Hiyo maana ya mzungu. Kibongo bongo kikiwekwa magodoro na kitambaa tayari sofa bed
M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 18, 2023 Thread starter #11 Tate Mkuu said: Mnapatikana pande zipi hapo Dodoma? Click to expand... Tupo mipango karibu Sana 0710 954395
Tate Mkuu said: Mnapatikana pande zipi hapo Dodoma? Click to expand... Tupo mipango karibu Sana 0710 954395
M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 18, 2023 Thread starter #12 Testimonial said: Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. View attachment 2520028 Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa. Click to expand... Sawa karibu sana
Testimonial said: Kwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa. View attachment 2520028 Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa. Click to expand... Sawa karibu sana
M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 18, 2023 Thread starter #13 Scolari said: Havilegei? Nikipigia show hapo hakitaanza kutoa sauti hicho?? Click to expand... Hivi avilegei hata shoo iwe nzito kiasi ganiii
Scolari said: Havilegei? Nikipigia show hapo hakitaanza kutoa sauti hicho?? Click to expand... Hivi avilegei hata shoo iwe nzito kiasi ganiii
M Mrak Member Joined Dec 26, 2022 Posts 13 Reaction score 16 Feb 18, 2023 Thread starter #14 Ushimen said: Mkuu ebu toa location maana jana (usiku) nimevunja chaga.. na umeweka tangazo wakati muafaka kabisa.. Click to expand... Tupo dodoma mipango nicheki 0710 954395
Ushimen said: Mkuu ebu toa location maana jana (usiku) nimevunja chaga.. na umeweka tangazo wakati muafaka kabisa.. Click to expand... Tupo dodoma mipango nicheki 0710 954395