Vitabu vya namna ya ufugaji wa kuku,changamoto na magonjwa

Vitabu vya namna ya ufugaji wa kuku,changamoto na magonjwa

king kidalu

New Member
Joined
May 5, 2023
Posts
2
Reaction score
1
Weka namba ya whatsapp nikutumie kitabu cha Utengenezaji wa incubator kwa njia ya kienyeji namna ya kutotolesha vifaranga nyumbani kwako Kwa kutumia plastic au box na vifaa vingine vinavyopatikana nyumbani kwako

**Tutakutumia kitabu Kwa njia ya Whatsapp namna ya kutengeneza kitotolesha mayai(incubator),na utaweza kupata vifaranga wengi kuliko kumsubir kuku atotoe

**Tutakupa offa ya vitabu 21 vya ufugaji kwa ofa ya elf 3000. ,kama vile

1. Kitabu Cha namna ya kutengeneza chakula Cha kuku

2. Kitabu Cha namna Bora za kulea VIFARANGA

3. Kitabu Cha chanjo mbalimbali za kuku

4. Kitabu Cha utengenezaji Bora wa mabsnda

5. Kitabu Cha ufugaji wa kuku kienyeji kitaalamu

6. Kitabu Cha namna ya kutengeneza dawa za magonjwa mbalimbali ya kuku

7. Kitabu Cha namna ya kutambua magonjwa ya kuku na dalili zake

8. Kitabu Cha namna ya kufungua kuku wa mayai na changamoto zake

9. Kitabu kinachoelezea kiwango cha kuchanganya vyakula vya kuku Ili wawe na afya Bora

10. Kitabu Cha ufugaji bora

11. Kitabu cha Utengenezaji wa incubator au kitotolesha mayai kwa njia ya asili au nyumban bila kutumia gharama kubwa

12. Utengezaji wa funza kwaajili ya kupunguza gharama ya chakula cha kuku

12. Utengezaji bora wa kuku aina ya broiler kienyeji na kroila pamoja na kuku wa mayai

Nk... vitabu vyote 21 ni elf 3 tu vina husika na kuku aina zote

VITABU VYA UFUGAJI VYOTE UTAPATA KWA OFFA YA SH 3000 TU.

Vitabu vyote ni elf 3000View attachment 3373216
Screenshot_20250617-161131_1.jpg
 
Weka namba ya whatsapp nikutumie kitabu cha Utengenezaji wa incubator kwa njia ya kienyeji namna ya kutotolesha vifaranga nyumbani kwako Kwa kutumia plastic au box na vifaa vingine vinavyopatikana nyumbani kwako
Ungeweka namba yako watu wakuombe
 
Mkuu mbona huweki.....afu leo nimepita mitaa ya CDT sijaona ile issue ya "kuku choma point" au uliahirisha brother?
Mkuu mbona huweki.....afu leo nimepita mitaa ya CDT sijaona ile issue ya "kuku choma point" au uliahirisha brother?
Nenda cdt karibu na kituo cha mafuta cha Petro Africa kata kona mkono wa wa kituo hicho kama unaenda cdt sokoni mkono wako wa kushoto utaona Bango limeandikwa MASANJA SHINING POINT zama humo nunua nguo pendeza mkuu.

Niliongeza nguvu humo mkuu baada ya kuona sijapata mtu sahihi hivyo nikaongeza nguo hapo ni ka ofisi kangu pia. Nikija kahama nitakucheki mkuu.

Kuhusu vitabu nasahahu tu now nipo job tena
 
Nenda cdt karibu na kituo cha mafuta cha Petro Africa kata kona mkono wa wa kituo hicho kama unaenda cdt sokoni mkono wako wa kushoto utaona Bango limeandikwa MASANJA SHINING POINT zama humo nunua nguo pendeza mkuu.

Niliongeza nguvu humo mkuu baada ya kuona sijapata mtu sahihi hivyo nikaongeza nguo hapo ni ka ofisi kangu pia. Nikija kahama nitakucheki mkuu.

Kuhusu vitabu nasahahu tu now nipo job tena
chief kumbuka kutupa kitabu utakua umetisha sana
 
Back
Top Bottom