Vita ya dunia

Vita ya dunia

Kelvin X

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,940
Reaction score
2,402
Kuna habari hapa za UN naona kama marekani anataka mpiga korea, angalia BBC
 
Ngoja nicheki , ahsante kwa taarifa

To accomplish much you must first lose everything..
 
Rahisi rahisi namna hiyo Usa kulianzisha na huyo dogo labda awe amechanganyikiwa ndiyo anaweza kuanzisha vita na N korea lakini hivi wataishia kupiga biti tu Usa anajua kabisa dogo hayuko pekee yake RUSSIA NA CHINA wanajifanya kulaani matendo ya dogo ya makombora yake kinafiki tu huku nyuma wakiwa na agenda zao wakisubiri mtu atie pua hapo walipize kisasi usishangae kikinuka kiduku hana cha kupoteza
 
Back
Top Bottom