Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Really funny!!!
Hii ni true story kabisaa, kuna dada mmoja kamegwa na mume akagundua, sasa jamaa akamconfront mwizi wake na kumuomba aache... mwizi akaacha, basi imekua tabu nyumbani! mwanamke anashindana kulazimisha jamaa waendelee kwani mme anamsimanga nyumbani kwa kuachwa na sasa anaitumia kama fimbo kwamba mkewe is a loser mbaya
dada amekua very much aggressive hadi anatishia kwenda kumharibia aliyemmega kazini na kwa washikaji
je ingekua wewe mkeo amefanya hivi ungefanyaje? aachwe au vipi?
Hii ni true story kabisaa, kuna dada mmoja kamegwa na mume akagundua, sasa jamaa akamconfront mwizi wake na kumuomba aache... mwizi akaacha, basi imekua tabu nyumbani! mwanamke anashindana kulazimisha jamaa waendelee kwani mme anamsimanga nyumbani kwa kuachwa na sasa anaitumia kama fimbo kwamba mkewe is a loser mbaya
dada amekua very much aggressive hadi anatishia kwenda kumharibia aliyemmega kazini na kwa washikaji
je ingekua wewe mkeo amefanya hivi ungefanyaje? aachwe au vipi?