Vita Kali: Samwel Sitta Vs Maaskofu

Baada ya samwel sitta kula chakula chake na kuropoka...sijui alikula maharage ya wapi huyu...mh Edward ngoyai Lowassa alimuombea msamaha sitta viongozi wa dini waliotukanwa wakakutana kujadili kauli hiyo ya Lowassa
 
Nilishawahi kusema, kwa sasa hakuna mwanasiasa mnafiki na mwenye chuki kama Sita..... Sita akiona madaraka mbele yake anaweza hata kumsaliti mke wake

Nasikia kuna wakati alitaka kubadilisha jinsia ili apewe uspika.

Huyu mtu ni hatari sana, lakini kuna hatari iliyojificha nyuma yake nayo ni "Ndege wanaofanana huruka kundi moja"

Huyu sita ana "manyoya" sawasawa na wana ccm wote nchini, nadhani mnauona ukubwa wa hatari!!!!!
 
sita na pengo wamejiondolea heshuma waliyojijengea miaka mingi kwa kukosa busara tu kuhusu katiba hii pendekezwa.
 
Sitta kakosea sana , lakini hata kuwapa Rushwa Viongozi wa Dini ni dhambi kubwa
 
Ni Msukuma wa tabagaka la Kinyantuzu kutoka Bariadi waliyohamia Urambo kwa hofu ya ukoo wao kuwa wa kishirikina.

Eti ni kweli ni mjukuu wa Ng'wanamalundi? Yule legend wa kisukuma aliyekuwa anafanya miujiza?
 
Mzee 6 lugha yako dhidi ya viongozi wetu Wa dini itakuhukumu sisi waumini pia ulitukana waombe wapagani
 
Habari za sita ziliishia kwenye bunge la katiba.alijimaliza pale.hana issue katengeneza kura mpaka leo katiba yake imekosa utetezi inapingwa kila kona.
 
Kauli ya Kinabii, hizi dini ni mtihani kwa kweli. Mnataka kutuaminisha hata Maneno ya Gwajima kumtukana Pengo ni maneno ya Kinabii?
 
Sitta anaongea facts afu wewe unaleta opinion zako hapa ambazo ziko very biased! Acha kutumika na mafisadi wewe! Ukitaka nchi inyooke pigania yafuatayo...

Magufuli: Rais wa JMT
Sita: Waziri Mkuu
6 huyu wa kura za maruhani zilizo pitisha katiba ya kijani?
 
Mchakato wa katiba ni mwiba kwenye harakati zake kisiasa otherwise he he would make a good president
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…