Vita dhidi ya madawa: Ushauri wa Bure kwa Mheshimiwa Magufuli

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,824
35,827
Siyo siri mheshimiwa kuwa hali ya nchi inavyokwenda kwa sasa katu hali si shwari. Siyo siri kuwa kuna idadi kubwa ya wananchi ambao hawaafikiani tena au hata kufurahishwa na mambo yanavyokwenda. Haihitaji kuwa umesimama upande upi wa itikadi kuweza kuyaona haya ninayo yasema. Kwa ufupi angalia:

1. Mwelekeo wa kamata kamata za waheshimiwa tuliowachagua kama wewe zinazokoelemea
2. Mwelekeo wa funga funga za waheshimiwa tuliowachagua zinakoelekemea
3. Matamko tata ya walioko madarakani yanakoelemea
4. Nk nk

Katika hali kama hizi hata sasa tunaposikia waheshimiwa kama kina Mbowe wametajwa kwenye vita vya madawa ya kulevya kunakuwa na mashaka kwani katika siasa hizi za Afrika, labda hata Museveni angependa sana kusikia hata kama si kweli kuwa wapinzani wake kama kina Besigye wamehusishwa na tuhuma nzito kama hizi ili watoweke. Labda ni vivyo hivyo kwa akina Uhuru Kenyata na kina Raila Odinga na hata Jammeh na mwenziwe?

Siyo siri mheshimiwa hapa tulipo sasa hivi si pa afya hata kidogo na bila shaka tuendako kama hali hizi za kuendekeza chuki zisizokuwa na msingi zitaachwa kuendelea tuendako kunaweza kuwa kweusi zaidi badala ya kuwa ni kwenye Tanzania ya Viwanda ambazo kampeni zako zilikuwa zimetupa matumaini.

Siyo siri kuwa Tanzania tulikuwa na historia tofauti sana ya kuvumiliana ambayo ili tutofautisha kabisa sisi na mataifa mengine ya Afrika. Mheshimiwa pamoja na nia yako nzuri uliyo nayo kwa taifa hili kwa mwendo tunaoenda nao kufika tuendako ni mashaka makubwa. Historia za mataifa mengi ya Afrika tunazijua. Katika siasa hizi za Afrika zisizokuwa na kuvumilia mawazo tofauti tutakuwa tunajidanganya kama ndimo Tanzania ya viwanda itaibuka. Tumekuwa tukijitanabainisha kuwa sisi ni kisiwa cha amani kimsingi kutokana na kuwa tulikuwa mambo ya msingi ya kuendesha nchi kwa kuzingaia misingi imara ya katiba yetu ambapo uhuru wa maoni ulikuwa suala la kuzingatiwa.

Ushauri wa bure kwako mheshimiwa: Kabla mambo hayajaharibika mheshimiwa itisha Pooooo! Sote kuanzia wewe mheshimiwa turejee kwenye misingi ya Katiba na sheria kwani hapa tulipo siyo siri tume ghafirika na tuendako kuna giza nene. Hatuna sababu ya kuwekeana mazingira magumu yasiyo na sababu ya kuishi katika nchi hii yetu ambayo sote tuliachiwa na mababu zetu ambako hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.

Ku Retreat siyo ku surrender mheshimiwa. Tutafute muafaka na maridhiano sisi wote kama Watanzania. Sote kwa pamoja hatuwezi kushindwa kufika mahali tukakubali kutofautiana ama kukubali kuafikiana kwa nguvu za hoja zetu. Tujitathimini wapi tumeteleza kwani kuteleza si kuanguka.

Leo hii tuko kwenye kutajana nani anafanya madawa ya kulevya. Mheshimiwa utakumbuka mheshimiwa Mwinyi aliwahi kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kwenye sekeseke lililopelekea vifo kwenye kuwalazimisha waliotuhumiwa uchawi (kwenye mikoa ya kwenu huko usukumani) kuwataja wachawi wenzao.

Hivi tumesikia anatajwa bwana Makonda kuwa naye huenda anaweza kuwa anahusika na hii biashara. Kwa mwendelezo wa utaratibu huu haitashangaza akitokea mwendawazimu akakutaja wewe mheshimiwa ya kuwa nawe ni gwiji haswaa kwenye hii biashara.

Kwani ni kweli kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na uimara wao vimeshindwa kufanya uchunguzi wao hadi kutegemea kupata taarifa za hawa magwiji tokea kwa waathirika wa madawa haya?
 
wanadhani kutaja taja bila bila kuwa na uhakika ni sifa subiri wakute mtu amisha jichokea na life amtaje Mkuu mwenyewe ndio watajua madhara ya kutaja taja.
 
Siyo siri mheshimiwa kuwa hali ya nchi inavyokwenda kwa sasa katu hali si shwari. Siyo siri kuwa kuna idadi kubwa ya wananchi ambao hawaafikiani tena au hata kufurahishwa na mambo yanavyokwenda. Haihitaji kuwa umesimama upande upi wa itikadi kuweza kuyaona haya ninayo yasema. Kwa ufupi angalia:

1. Mwelekeo wa kamata kamata za waheshimiwa tuliowachagua kama wewe zinazokoelemea
2. Mwelekeo wa funga funga za waheshimiwa tuliowachagua zinakoelekemea
3. Matamko tata ya walioko madarakani yanakoelemea
4. Nk nk

Katika hali kama hizi hata sasa tunaposikia waheshimiwa kama kina Mbowe wametajwa kwenye vita vya madawa ya kulevya kunakuwa na mashaka kwani katika siasa hizi za Afrika, labda hata Museveni angependa sana kusikia hata kama si kweli kuwa wapinzani wake kama kina Besigye wamehusishwa na tuhuma nzito kama hizi ili watoweke. Labda ni vivyo hivyo kwa akina Uhuru Kenyata na kina Raila Odinga na hata Jammeh na mwenziwe?

Siyo siri mheshimiwa hapa tulipo sasa hivi si pa afya hata kidogo na bila shaka tuendako kama hali hizi za kuendekeza chuki zisizokuwa na msingi zitaachwa kuendelea tuendako kunaweza kuwa kweusi zaidi badala ya kuwa ni kwenye Tanzania ya Viwanda ambazo kampeni zako zilikuwa zimetupa matumaini.

Siyo siri kuwa Tanzania tulikuwa na historia tofauti sana ya kuvumiliana ambayo ili tutofautisha kabisa sisi na mataifa mengine ya Afrika. Mheshimiwa pamoja na nia yako nzuri uliyo nayo kwa taifa hili kwa mwendo tunaoenda nao kufika tuendako ni mashaka makubwa. Historia za mataifa mengi ya Afrika tunazijua. Katika siasa hizi za Afrika zisizokuwa na kuvumilia mawazo tofauti tutakuwa tunajidanganya kama ndimo Tanzania ya viwanda itaibuka. Tumekuwa tukijitahabainisha kuwa sisi ni kisiwa cha amani kimsingi kutokana na kuwa tulikuwa mambo ya msingi ya kuendesha nchi kwa kuzingaia misingi imara ya katiba yetu ambapo uhuru wa maoni ulikuwa suala kuzingatiwa.

Ushauri wa bure kwako mheshimiwa: Kabla mambo hayajaharibika mheshimiwa itisha Pooooo! Sote kuanzia wewe mheshimiwa turejee kwenye misingi ya Katiba na sheria kwani hapa tulipo siyo siri tume ghafirika na tuendako kuna giza nene. Hatuna sababu ya kuwekeana mazingira magumu yasiyo na sababu ya kuishi katika nchi hii yetu ambayo sote tuliachiwa na mababu zetu ambako hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.

Ku Retreat siyo ku surrender mheshimiwa. Tutafute muafaka na maridhiano sisi wote kama Watanzania. Sote kwa pamoja hatuwezi kushindwa kufika mahali tukakubali kutofautiana ama kukubali kuafikiana kwa nguvu za hoja zetu. Tujitathimini wapi tumeteleza kwani kuteleza si kuanguka.

Leo hii tuko kwenye kutajana nani anafanya madawa ya kulevya. Mheshimiwa utakumbuka mheshimiwa Mwinyi aliwahi kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kwenye sekeseke lililopelekea vifo kwenye kuwalazimisha waliotuhumiwa uchawi (kwenye mikoa ya kwenu huko usukumani) kutaja wenzao.

Hivi tumesikia anatajwa bwana Makonda kuwa naye huenda anaweza kuwa anahusika na hii biashara. Kwa mwendelezo wa utaratibu huu haitashangaza akitokea mwendawazimu akakutaja wewe mheshimiwa ya kuwa nawe ni ndiye gwiji haswaa kwenye hii biashara.

Kwani ni kweli kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na uimara wao vimeshindwa kufanya uchunguzi wao hadi kutegemea kupata taarifa za hawa magwiji tokea kwa waathirika wa madawa haya?
Hata wewe unauza ngada mzeee
 
wanadhani kutaja taja bila bila kuwa na uhakika ni sifa subiri wakute mtu amisha jichokea na life amtaje Mkuu mwenyewe ndio watajua madhara ya kutaja taja.
Ulitakamani atajwe rizmoko asa imekuwa tofauti imekuwa chungu ,hahahah very good
 
Tunachukiana kwa sababu tunaogopana
Tunaogopana kwa sababu hatujajuana
Hatujuani kwa sababu tunatengana
Dunia ni nzuri walimwengu hawana maana
- FID Q
 
Siyo siri mheshimiwa kuwa hali ya nchi inavyokwenda kwa sasa katu hali si shwari. Siyo siri kuwa kuna idadi kubwa ya wananchi ambao hawaafikiani tena au hata kufurahishwa na mambo yanavyokwenda. Haihitaji kuwa umesimama upande upi wa itikadi kuweza kuyaona haya ninayo yasema. Kwa ufupi angalia:

1. Mwelekeo wa kamata kamata za waheshimiwa tuliowachagua kama wewe zinazokoelemea
2. Mwelekeo wa funga funga za waheshimiwa tuliowachagua zinakoelekemea
3. Matamko tata ya walioko madarakani yanakoelemea
4. Nk nk

Katika hali kama hizi hata sasa tunaposikia waheshimiwa kama kina Mbowe wametajwa kwenye vita vya madawa ya kulevya kunakuwa na mashaka kwani katika siasa hizi za Afrika, labda hata Museveni angependa sana kusikia hata kama si kweli kuwa wapinzani wake kama kina Besigye wamehusishwa na tuhuma nzito kama hizi ili watoweke. Labda ni vivyo hivyo kwa akina Uhuru Kenyata na kina Raila Odinga na hata Jammeh na mwenziwe?

Siyo siri mheshimiwa hapa tulipo sasa hivi si pa afya hata kidogo na bila shaka tuendako kama hali hizi za kuendekeza chuki zisizokuwa na msingi zitaachwa kuendelea tuendako kunaweza kuwa kweusi zaidi badala ya kuwa ni kwenye Tanzania ya Viwanda ambazo kampeni zako zilikuwa zimetupa matumaini.

Siyo siri kuwa Tanzania tulikuwa na historia tofauti sana ya kuvumiliana ambayo ili tutofautisha kabisa sisi na mataifa mengine ya Afrika. Mheshimiwa pamoja na nia yako nzuri uliyo nayo kwa taifa hili kwa mwendo tunaoenda nao kufika tuendako ni mashaka makubwa. Historia za mataifa mengi ya Afrika tunazijua. Katika siasa hizi za Afrika zisizokuwa na kuvumilia mawazo tofauti tutakuwa tunajidanganya kama ndimo Tanzania ya viwanda itaibuka. Tumekuwa tukijitanabainisha kuwa sisi ni kisiwa cha amani kimsingi kutokana na kuwa tulikuwa mambo ya msingi ya kuendesha nchi kwa kuzingaia misingi imara ya katiba yetu ambapo uhuru wa maoni ulikuwa suala la kuzingatiwa.

Ushauri wa bure kwako mheshimiwa: Kabla mambo hayajaharibika mheshimiwa itisha Pooooo! Sote kuanzia wewe mheshimiwa turejee kwenye misingi ya Katiba na sheria kwani hapa tulipo siyo siri tume ghafirika na tuendako kuna giza nene. Hatuna sababu ya kuwekeana mazingira magumu yasiyo na sababu ya kuishi katika nchi hii yetu ambayo sote tuliachiwa na mababu zetu ambako hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.

Ku Retreat siyo ku surrender mheshimiwa. Tutafute muafaka na maridhiano sisi wote kama Watanzania. Sote kwa pamoja hatuwezi kushindwa kufika mahali tukakubali kutofautiana ama kukubali kuafikiana kwa nguvu za hoja zetu. Tujitathimini wapi tumeteleza kwani kuteleza si kuanguka.

Leo hii tuko kwenye kutajana nani anafanya madawa ya kulevya. Mheshimiwa utakumbuka mheshimiwa Mwinyi aliwahi kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kwenye sekeseke lililopelekea vifo kwenye kuwalazimisha waliotuhumiwa uchawi (kwenye mikoa ya kwenu huko usukumani) kuwataja wachawi wenzao.

Hivi tumesikia anatajwa bwana Makonda kuwa naye huenda anaweza kuwa anahusika na hii biashara. Kwa mwendelezo wa utaratibu huu haitashangaza akitokea mwendawazimu akakutaja wewe mheshimiwa ya kuwa nawe ni gwiji haswaa kwenye hii biashara.

Kwani ni kweli kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na uimara wao vimeshindwa kufanya uchunguzi wao hadi kutegemea kupata taarifa za hawa magwiji tokea kwa waathirika wa madawa haya?
Tumekusikia.Ila ni kama una-sympathize na wauza unga hivi.Kaa pembeni.Treni imeshika kasi.Tumuombe Mungu tu safari yetu tufike salama kusiwe na majeruhi.
 
mi namtaja huyo nae anauza anamtumia konda kuwatisha wengine ili wabaki wenyewe
 
Kuna watu unaweza kuwapa ushaur na wakaufanyia kazi, kwa jinsi anavyowachukia wapinzani na alivyowapania usishangae kuona kinachofanywa na konda kinatoka huko
 
Vita hivi vishapoteza mwelekeo. Hatomkamata mtu kwa kelele hizi ushahidi ushahamishwa! Labda kama anataka ajisikie kawaita wasanii na wanasiasa kwake au kituoni. Mjinga gani au mahakama ipi utamfunga mtu kwa maneno ya kuambiwa na mateja? Mbaya zaidi hata ndani hujawaweka unatangaza na kuwapa siku kadhaa....This is a show off. Hakuna aliyeweza kutokomeza vita hivi kwa mtindo huu
 
Siyo siri mheshimiwa kuwa hali ya nchi inavyokwenda kwa sasa katu hali si shwari. Siyo siri kuwa kuna idadi kubwa ya wananchi ambao hawaafikiani tena au hata kufurahishwa na mambo yanavyokwenda. Haihitaji kuwa umesimama upande upi wa itikadi kuweza kuyaona haya ninayo yasema. Kwa ufupi angalia:

1. Mwelekeo wa kamata kamata za waheshimiwa tuliowachagua kama wewe zinazokoelemea
2. Mwelekeo wa funga funga za waheshimiwa tuliowachagua zinakoelekemea
3. Matamko tata ya walioko madarakani yanakoelemea
4. Nk nk

Katika hali kama hizi hata sasa tunaposikia waheshimiwa kama kina Mbowe wametajwa kwenye vita vya madawa ya kulevya kunakuwa na mashaka kwani katika siasa hizi za Afrika, labda hata Museveni angependa sana kusikia hata kama si kweli kuwa wapinzani wake kama kina Besigye wamehusishwa na tuhuma nzito kama hizi ili watoweke. Labda ni vivyo hivyo kwa akina Uhuru Kenyata na kina Raila Odinga na hata Jammeh na mwenziwe?

Siyo siri mheshimiwa hapa tulipo sasa hivi si pa afya hata kidogo na bila shaka tuendako kama hali hizi za kuendekeza chuki zisizokuwa na msingi zitaachwa kuendelea tuendako kunaweza kuwa kweusi zaidi badala ya kuwa ni kwenye Tanzania ya Viwanda ambazo kampeni zako zilikuwa zimetupa matumaini.

Siyo siri kuwa Tanzania tulikuwa na historia tofauti sana ya kuvumiliana ambayo ili tutofautisha kabisa sisi na mataifa mengine ya Afrika. Mheshimiwa pamoja na nia yako nzuri uliyo nayo kwa taifa hili kwa mwendo tunaoenda nao kufika tuendako ni mashaka makubwa. Historia za mataifa mengi ya Afrika tunazijua. Katika siasa hizi za Afrika zisizokuwa na kuvumilia mawazo tofauti tutakuwa tunajidanganya kama ndimo Tanzania ya viwanda itaibuka. Tumekuwa tukijitanabainisha kuwa sisi ni kisiwa cha amani kimsingi kutokana na kuwa tulikuwa mambo ya msingi ya kuendesha nchi kwa kuzingaia misingi imara ya katiba yetu ambapo uhuru wa maoni ulikuwa suala la kuzingatiwa.

Ushauri wa bure kwako mheshimiwa: Kabla mambo hayajaharibika mheshimiwa itisha Pooooo! Sote kuanzia wewe mheshimiwa turejee kwenye misingi ya Katiba na sheria kwani hapa tulipo siyo siri tume ghafirika na tuendako kuna giza nene. Hatuna sababu ya kuwekeana mazingira magumu yasiyo na sababu ya kuishi katika nchi hii yetu ambayo sote tuliachiwa na mababu zetu ambako hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.

Ku Retreat siyo ku surrender mheshimiwa. Tutafute muafaka na maridhiano sisi wote kama Watanzania. Sote kwa pamoja hatuwezi kushindwa kufika mahali tukakubali kutofautiana ama kukubali kuafikiana kwa nguvu za hoja zetu. Tujitathimini wapi tumeteleza kwani kuteleza si kuanguka.

Leo hii tuko kwenye kutajana nani anafanya madawa ya kulevya. Mheshimiwa utakumbuka mheshimiwa Mwinyi aliwahi kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kwenye sekeseke lililopelekea vifo kwenye kuwalazimisha waliotuhumiwa uchawi (kwenye mikoa ya kwenu huko usukumani) kuwataja wachawi wenzao.

Hivi tumesikia anatajwa bwana Makonda kuwa naye huenda anaweza kuwa anahusika na hii biashara. Kwa mwendelezo wa utaratibu huu haitashangaza akitokea mwendawazimu akakutaja wewe mheshimiwa ya kuwa nawe ni gwiji haswaa kwenye hii biashara.

Kwani ni kweli kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na uimara wao vimeshindwa kufanya uchunguzi wao hadi kutegemea kupata taarifa za hawa magwiji tokea kwa waathirika wa madawa haya?
I like that piece. Ni ushauri mzuri sana.
Ni kweli pole pole tunatoka katika hali ya KUVUMILIANA na tunaelekea katika hali ya KUVAMIANA kisiasa.

Nililizungumzia pia pale nyuma kuwa kamatakamata hailipi. Matokeo yake huleta hali ISIYOTARAJIWA.
Mh.rais angewaachia SPACE ya kupumlia wapinzani la sivyo itatuletea shida isiyotarajiwa.
 
. kutaja taja sio utaratbu mzur. vtengo vya madawa ya kulevya jesh la polic wako wap? usalama wataifa hamuon kama hil n hatar kwa taifa
 
Kesho ukiwa na bifu na mtu unamtaja tu, anaanikwa, jamii inamnyooshea kidole, tayari ushammaliza!!, Mission accomplished!!!
 
Back
Top Bottom