Vipi unamchukuliaje huyu mwanamke?

Kwwhiyo unataka akuambie kuwa ni mzima wakati ni mgonjwa? Hapo utakua unataka kugegeda unanyimwa daily kwa kisingizio cha ugonjwa.

Vumilia tu yatapita.
Hapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan [emoji1787][emoji1787][emoji1787], saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.
 
Ukipenda mtetea, usiogope utitiri.
 
Hapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan [emoji1787][emoji1787][emoji1787], saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.
Hapo hela tu anataka....
 
Anataka umjengee Dispensary yake mkuu jiongezee
 
Simtumii pesa mpaka ajitoe mwenyew [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uwe unampa hela kila mara kabla hata ajasema anaumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…