Pretty JF-Expert Member Joined Mar 19, 2009 Posts 2,579 Reaction score 573 Jul 22, 2009 #1 Wamependeza kwa kweli!
Chapakazi JF-Expert Member Joined Apr 19, 2009 Posts 2,874 Reaction score 317 Jul 22, 2009 #2 Hamna kitu...fisadis tu. Mungu anajua madhambi yao. Dili walizokula kujiwezesha wenyewe badala ya kuiwezesha nchi.
Hamna kitu...fisadis tu. Mungu anajua madhambi yao. Dili walizokula kujiwezesha wenyewe badala ya kuiwezesha nchi.
S Shomvi Member Joined Jul 20, 2009 Posts 29 Reaction score 13 Jul 28, 2009 #3 Naipongeza Tanzania na najivunia nchi yetu. Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo, marais wote (waliohai) wanaweza kukaa pamoja namna hii. Naam, pengine kati ya mengi ya kuchukiza nchini hii hili linaweza kuleta faraja japo kidogo.
Naipongeza Tanzania na najivunia nchi yetu. Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo, marais wote (waliohai) wanaweza kukaa pamoja namna hii. Naam, pengine kati ya mengi ya kuchukiza nchini hii hili linaweza kuleta faraja japo kidogo.
Abdulhalim Platinum Member Joined Jul 20, 2007 Posts 17,217 Reaction score 3,123 Jul 28, 2009 #4 Waache wapendeze maana kila mbuzi atakula kadr ya urefu wa kamba yake shingoni.
N NEMA Member Joined Jun 22, 2009 Posts 16 Reaction score 0 Jul 28, 2009 #5 Mbona Bonge kabadilishana kifaa chake na Mzee Ruksa nnahisi aliona kitamharibia picha?
A Ani New Member Joined Aug 7, 2009 Posts 3 Reaction score 0 Aug 10, 2009 #6 Pretty said: Wamependeza kwa kweli! Click to expand... Wanaopinga wana wivu tu
L libidozy Member Joined Jul 16, 2009 Posts 56 Reaction score 3 Aug 24, 2009 #8 Aaaaaaaaaaaah waaaaapi! Mbona naona wanaume wako 3, akinamama 2? Kitu ugly face, duh? Duh? Duh? Dudududududududu, eeeh, aha aha ahaaa,yap yap yap, ebanaeeeeeeeeeeeeee!
Aaaaaaaaaaaah waaaaapi! Mbona naona wanaume wako 3, akinamama 2? Kitu ugly face, duh? Duh? Duh? Dudududududududu, eeeh, aha aha ahaaa,yap yap yap, ebanaeeeeeeeeeeeeee!
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 21,072 Reaction score 47,006 Mar 27, 2014 #9 Pretty said: Wamependeza kwa kweli! Click to expand... sikuhizi Beni hataki hata kumsogelea mwenzake