Viongozi wetu wamependeza!!!

Hamna kitu...fisadis tu. Mungu anajua madhambi yao. Dili walizokula kujiwezesha wenyewe badala ya kuiwezesha nchi.
 
Naipongeza Tanzania na najivunia nchi yetu. Pamoja na matatizo mengi tuliyonayo, marais wote (waliohai) wanaweza kukaa pamoja namna hii. Naam, pengine kati ya mengi ya kuchukiza nchini hii hili linaweza kuleta faraja japo kidogo.
 
Waache wapendeze maana kila mbuzi atakula kadr ya urefu wa kamba yake shingoni.
 
Mbona Bonge kabadilishana kifaa chake na Mzee Ruksa nnahisi aliona kitamharibia picha?
 
Aaaaaaaaaaaah waaaaapi! Mbona naona wanaume wako 3, akinamama 2? Kitu ugly face, duh? Duh? Duh? Dudududududududu, eeeh, aha aha ahaaa,yap yap yap, ebanaeeeeeeeeeeeeee!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…