Jef Kirhiku
Member
- Dec 10, 2016
- 39
- 76
Kumekuwa na hatua mbalimbali zinachukuliwa kwa watumishi wa umma na viongozi mbalimbali ikiwemo wakuu wa mikoa ,wilaya ,mawaziri,manaibu mawaziri nk bila ya kuzingatia mamlaka waliyonayo kwa mujibu wa sheria za nchi .
Je hawa viongozi hawana ufahamu kuhusu sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa au wanazipuuza tuu kwa sababu hatuna mifumo mizuri ya uwajibikaji ?
Kama hawazifahamu au wanazipuuza je wanatosha kuendelea kubaki katika nafasi walizonazo waendelee kujifanyia watakavyo ?
Nini maoni yako ?
Je hawa viongozi hawana ufahamu kuhusu sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa au wanazipuuza tuu kwa sababu hatuna mifumo mizuri ya uwajibikaji ?
Kama hawazifahamu au wanazipuuza je wanatosha kuendelea kubaki katika nafasi walizonazo waendelee kujifanyia watakavyo ?
Nini maoni yako ?