PreGE2025 Viongozi wa dini waja na kalamu ya Samia

PreGE2025 Viongozi wa dini waja na kalamu ya Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,450
Reaction score
5,279
Kalamu ya Samia inaongea waendelea kuyasema na kuyamulika yale yote aliyoyafanya Rais Samia kuanzia mjini mpaka vijijin kuwa kalam ya mama Samia imepita kila eneo.

Leo March 17,2025 viongozi wa dini wa pande zote kupitia kampeni ya kalamu ya Samia inaongea wamezungumza na waandishi wa habari na kusema yale yatakatojiri wakati wa kampeni ambayo itafanyika mkoa kwa mkoa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Vile vile Kalamu ya Samia inaongea wanatarajia kufufurisha siku zijazo na kumuombea Rais Samia.

 
Ni punguani tu asiyeona mazuri Mama anayofanya.
 
Kalamu ya Samia inaongea waendelea kuyasema na kuyamulika yale yote aliyoyafanya Rais Samia kuanzia mjini mpaka vijijin kuwa kalam ya mama Samia imepita kila eneo.

Leo March 17,2025 viongozi wa dini wa pande zote kupitia kampeni ya kalamu ya Samia inaongea wamezungumza na waandishi wa habari na kusema yale yatakatojiri wakati wa kampeni ambayo itafanyika mkoa kwa mkoa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Vile vile Kalamu ya Samia inaongea wanatarajia kufufurisha siku zijazo na kumuombea Rais Samia.

Kuna padri ama askofu wa kanisa katoliki kwenye hao matapeli?
 
Ni punguani tu asiyeona mazuri Mama anayofanya.
Na nchi ina punguani wengi kuliko wenye utimamu wa akili. Namna pekee ya kuwasaidia hawa punguani (nahisi nii miongoni mwao)ni kuwapeleka hospitali kama Milembe, sio hizi kampeni za kichawa zinazotufanya tushindwe kutofautisha kati ya punguani na wenye akili timamu
 
Back
Top Bottom