PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
ndugu zangu watanzania, hakika ile nchi na chama ambacho Baba wa taifa ilikiacha kimeshatoweka na nchi inaelekea kusambaratika,
Baba wataifa aliijenga nchi ihi kwa misingi ya umoja na mshikamano, bila kujali dini au ukabila,
watanzania kwa miaka yote tuliishi kama ndugu, hakuna mtu aliye mwuliza mwenzake wewe kabila gani, au dini gani, tuliishi kama ndugu, kila mtu alioona fahari kumwita mwenzake ndugu,
wazee wetu waliijenga misingi ihi kwa gharama kubwa sana, wali liunganisha taifa katika misingi ya undugu na ujamaa:
sasa ni miaka 16 tangu baba wataifa alipoitwa mbele za haki,
sasa misingi ile ambayo baba wataifa aliipigania siku zote za uai wake, inabomolewa tena mbaya zaidi na chama alicho kiasisi mwenyewe,
leo viongozi wa chama cha mapinduzi, bila woga wanaivunja misingi iliyo lisimamisha taifa hili kwa miaka 50 na kuwafanya watanzania tuishi kwa amani,
chama kimepoteza mwelekeo, hakina sera tena za kuwaletea watanzania maendeleo,
kinatafuta madaraka kwa garama yeyote, iwe kwa kutugawa na kulivunja taifa bila kujua athari ya matokeo ya siasa hizo,
hai ingii akilini viongozi wakubwa tena walio heshimika sana na wananchi kusimama majukwaani na kulipasua taifa kwa kutamka maneno ya uchochezi na uvunjifu wa amani umoja na mshikamano wa taifa?
Mwaka 2010 walikuja na propaganda za udini, na hili limesha sambaza sumu kubwa sana kwa udini unaolitafuna taifa kwa sasa kuliko letwa na siasa uchwara za ccm,
sasa mwaka uhu wamekeja na propaganda za ukanda na ukabila, na sote jana tumeshuhudia viongozi wakubwa wakisimama majukwaani na kumwaga sumu hiyo na matusi,
ccm isifikirie kwa mchezo uhu italiacha taifa salama, na wala isijidanganye, yenyewe itabaki salama,
nawala wanaccm wanaoshabikia ujinga uhu wasijidhanie nawao watabaki salama, kwa uroho wa madaraka wa viongizi wao wanao tumia kila mbinu chafu za kubaki madarakani kwa kulipasua taifa,
hakika siyo upinzani utakao lisambaratisha taifa hili bali taifa hili litapasuliwa na chama cha mapinduzi chenyewe,
wito wangu kwa watanzania na viongozi wa dini:
siyo vyema kufumbia macho mambo haya yanayofanywa na chama cha mapinduzi,
tukemee kwa nguvu zote kauli hizi na kuwakataa watu hawa kwa kuwaondoa madarakani kwani tukiendelea kuwa acha taifa ili lita angamia kabisa,
naomba kuwasilisha, tuchangie kwa kina jambo hili bila ushabiki,
Baba wataifa aliijenga nchi ihi kwa misingi ya umoja na mshikamano, bila kujali dini au ukabila,
watanzania kwa miaka yote tuliishi kama ndugu, hakuna mtu aliye mwuliza mwenzake wewe kabila gani, au dini gani, tuliishi kama ndugu, kila mtu alioona fahari kumwita mwenzake ndugu,
wazee wetu waliijenga misingi ihi kwa gharama kubwa sana, wali liunganisha taifa katika misingi ya undugu na ujamaa:
sasa ni miaka 16 tangu baba wataifa alipoitwa mbele za haki,
sasa misingi ile ambayo baba wataifa aliipigania siku zote za uai wake, inabomolewa tena mbaya zaidi na chama alicho kiasisi mwenyewe,
leo viongozi wa chama cha mapinduzi, bila woga wanaivunja misingi iliyo lisimamisha taifa hili kwa miaka 50 na kuwafanya watanzania tuishi kwa amani,
chama kimepoteza mwelekeo, hakina sera tena za kuwaletea watanzania maendeleo,
kinatafuta madaraka kwa garama yeyote, iwe kwa kutugawa na kulivunja taifa bila kujua athari ya matokeo ya siasa hizo,
hai ingii akilini viongozi wakubwa tena walio heshimika sana na wananchi kusimama majukwaani na kulipasua taifa kwa kutamka maneno ya uchochezi na uvunjifu wa amani umoja na mshikamano wa taifa?
Mwaka 2010 walikuja na propaganda za udini, na hili limesha sambaza sumu kubwa sana kwa udini unaolitafuna taifa kwa sasa kuliko letwa na siasa uchwara za ccm,
sasa mwaka uhu wamekeja na propaganda za ukanda na ukabila, na sote jana tumeshuhudia viongozi wakubwa wakisimama majukwaani na kumwaga sumu hiyo na matusi,
ccm isifikirie kwa mchezo uhu italiacha taifa salama, na wala isijidanganye, yenyewe itabaki salama,
nawala wanaccm wanaoshabikia ujinga uhu wasijidhanie nawao watabaki salama, kwa uroho wa madaraka wa viongizi wao wanao tumia kila mbinu chafu za kubaki madarakani kwa kulipasua taifa,
hakika siyo upinzani utakao lisambaratisha taifa hili bali taifa hili litapasuliwa na chama cha mapinduzi chenyewe,
wito wangu kwa watanzania na viongozi wa dini:
siyo vyema kufumbia macho mambo haya yanayofanywa na chama cha mapinduzi,
tukemee kwa nguvu zote kauli hizi na kuwakataa watu hawa kwa kuwaondoa madarakani kwani tukiendelea kuwa acha taifa ili lita angamia kabisa,
naomba kuwasilisha, tuchangie kwa kina jambo hili bila ushabiki,