walioshiriki katika kura hiyo ni watu wa JF tu. Asilimia 99.9 ya wa tz hawatumii mtandao unalijua hilo
hivi kumbe JF ina atu wanaochekesha sana??!!!!!!!!!!!!!!!............ hahah iabidi tuandike kwenye JF home page "UMRI MIAKA 18"..... LABDA ITASAIDIA.....
Uzalendo wa Magufuli na Selelii ambao unategemea zaidi na vigezo vya uzalendo kwa mujibu wako siwezi kuupinga. Lakini LEMBELI nasema HAPANA KABISA.
Ben, hivi viongozi wazalendo ni kina John tu na kwako wewe hakuna Ally anayepita kipimo chako cha uzalendo?
omarilyas
Kila sredi ya CHADEMA lazima utajitokeza tu..Utumwa utakuua Mkuu.Kuwa na mawazxo huru si kila ukiona hoja za CHADEMA lazima ujibu...Unakera sana..
Kutokana na Utafiti uliofanyika humu ndani ya JF ya kutafuta wanasiasa maarufu na watu kadhaa kwa hiyari yao kupiga kura..Kumi bora zimepatikana na CHADEMA kuwa kinara..
Kati ya kumi bora,watatu watoka CHADEMA ,washika nafasi za juu..CUF yaambulia mmoja tena nafasi ya tisa,Ni Maalim Seif,Prof Lipumba hayumo kwenye kumi bora.
Kwasababu hiyo basi CHADEMA ndio chama pekee chenye viongozi maarufu kuliko chama kingine chochote cha siasa hapa nchini.
Dr Slaa awaacha mbali kina JK. Mbowe ampiku Maalima Seif na Lipumba
CHADEMA:Mabadiliko ya Kweli na Uhuru wa kweli
Kutokana na Utafiti uliofanyika humu ndani ya JF ya kutafuta wanasiasa maarufu na watu kadhaa kwa hiyari yao kupiga kura..Kumi bora zimepatikana na CHADEMA kuwa kinara..
Kati ya kumi bora,watatu watoka CHADEMA ,washika nafasi za juu..CUF yaambulia mmoja tena nafasi ya tisa,Ni Maalim Seif,Prof Lipumba hayumo kwenye kumi bora.
Kwasababu hiyo basi CHADEMA ndio chama pekee chenye viongozi maarufu kuliko chama kingine chochote cha siasa hapa nchini.
Dr Slaa awaacha mbali kina JK. Mbowe ampiku Maalima Seif na Lipumba
CHADEMA:Mabadiliko ya Kweli na Uhuru wa kweli
wazee huu utafiti utakuwa na kasoro, utafit gani ambao hauonyeshi idadi ya wanajamii waliopiga kura, umri wao, elimu yao,kipato chao na hata ikibidi wanajishughulisha na nini na hii research imefanyika lini na kwa muda gani.Sitegemei kama mtu hana kazi halafu ampigie kura kiongozi aliyeko madarakani hata kama anafanya vyema.
Msitake kuwaingizia wana JF majibu vinywani, that is it doesn't make sense.Kumbukeni hii JF ina members wengi sana na wenye status za aina mbali mbali,kwa hiyo tujiepushe na mambo ya vijeweni ili tujenge taifa adilifu, imara lenye kutumia nguvu ya hoja kuchanganua matatizo yanayotuzunguka ili kujiletea maendeleo ya kweli.Tukianza kuingiza ushabiki wa kisiasa hapa hatufiki popote,TOA TAKWIMU ZA RESEARCH YAKO NA SIYO MANENO MATUPU.
BTW, huo 'umaarufu' wao unatusaidia nini sisi walalahoi..phew!
Nami nakubaliana kabisa na utafiti huu unaonyesha uhalisia wa mambo tofauti na zile za REDET ambazo mara nyingi zinaelekea kuwapamba watawala wetu walioshindwa.Natumaini huko mbele itazidi kuonyesha hivyo maana ndio wakati ambao watawala wetu watalazimika kujibu yale waliyoahidi na kuyatenda.Kila la kheri CHADEMA na wanachama na wafuasi wenu
Uzalendo wa Magufuli na Selelii ambao unategemea zaidi na vigezo vya uzalendo kwa mujibu wako siwezi kuupinga. Lakini LEMBELI nasema HAPANA KABISA.
Ben, hivi viongozi wazalendo ni kina John tu na kwako wewe hakuna Ally anayepita kipimo chako cha uzalendo?
omarilyas
BalantandaGS..........Hii ni kwa mujibu wa poll ya hapa JF ambayo imepigwa na watu 470 kati ya members 17,623 wa JF(utafiti wa JF),cha kujiuliza hapa ni je,ni kweli kwamba Dk.Slaa ni maarufu zaidi ya Rais JK hadi kwa mtanzania wa kawaida(wapiga kura walio vijijini)?,ama ni maarufu tu hapa JF?....Maana kwangu mimi kusema kwamba viongozi wa CHADEMA ni maarufu Tanzania kwa kuangalia kura zilizopigwa na watu 470 kati ya members 17,623(asilimia 2.6) wa JF inakuwa haijakaa vizuri hata kidogo....Kwangu mimi naona Rais JK bado ni maarufu(anaongoza kwa umaarufu ukilinganisha na hao viongozi wengine) Tanzania(kwa watanzania wa kawaida) ikilinganishwa na hao viongozi wa CHADEMA.....So si vema kusema kwamba viongozi wa CHADEMA ni maarufu zaidi Tanzania eti tu kwa kutumia kigezo cha watu 470(kwamba wanawawakilisha watanzania karibu milioni 40?...hapana,nakataa).....labda tu tuseme ni maarufu hapa JF......Huu ni mtizamo wangu tu........Pamoja
Balantanda
Analysis za research huwa hazifanywi hivyo, ukiangalia wanaJF 470(2.6%) kati ya members 17,623 ni percent kubwa ukilinganisha na watu 2,000 wanaotumiwa na REDET/Synovate kwenye tafiti zao kwenye mil. 40 ya watanzania wote ambayo ni sawa na 0.005%, kwa kigezo chako unafikiri nani atakuwa ametumia 'area of research' kubwa zaidi ya mwingine kati ya G.S na REDET. Kwenye uchaguzi mkuu 2005 Kikwete alipopata kura 9,000,000 sawa na 80% ambayo si ya watanzania wote ni ya waliopiga kura tu, ukifuata analysis yako ambayo si sahihi basi Kikwete angeshinda kwa kama 22.5% tu kwa vile kura mil. 9 ni kama sawa na 22.5% ya watanzania mil. 40.
Kwa vigezo alivyotumia G.S naweza kukubaliana na utafiti wake kwa 100% kwa vile amesema aliufanya humu humu JF (area of research) na si vijijini kama unavyosema, labda cha kujiuliza ni kwa vipi matokeo ya utafiti wake yana husiana na jamii yote ya watanzania pale aliposema Chadema ni maarufu zaidi. Je members wengi wa JF ni wapenzi wa Chadema? kama wengi ni wapenzi kwa sababu zipi, kwanini wasiwe wapenzi wa vyama vingine, mimi nafikiri mtu ukijiuliza maswali haya ndipo utakapojua uhusiano wa utafiti wake na jamii nje ya JF kwa vile hata wanaJF ni sehemu ya hiyo jamii ingawa ni ndogo.
Mbona aliweza kugeuza Bunge la Farao na kulipeleka kanaani?
Wanalitambua hilo ila wanafanya makusudi tu.
Watu wa aina hii ni muhimu kuwemo miongoni mwa jamii ambayo ni civilized ,ili watoto wadogo waelewe mana ya uncivilization